Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 2

Yohana 2:12-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Baada ya hayo, Yesu alishuka pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, wakaenda Kafarnaumu ambako walikaa kwa siku chache.
13Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa imekaribia; hivyo Yesu akaenda Yerusalemu.
14Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ng'ombe, kondoo na njiwa, na wavunja fedha walikuwa wamekaa kwenye meza zao.

Read Yohana 2Yohana 2
Compare Yohana 2:12-14Yohana 2:12-14