Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 21

Yohana 21:10-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”
11Basi, Simoni Petro akapanda mashuani, akavuta hadi nchi kavu ule wavu uliokuwa umejaa samaki wakubwa mia moja na hamsini na watatu. Na ingawa walikuwa wengi hivyo wavu haukukatika.
12Yesu akawaambia, “Njoni mkafungue kinywa.” Hakuna hata mmoja wao aliyethubutu kumwuliza: “Wewe ni nani?” Maana walijua alikuwa Bwana.
13Yesu akaja, akatwaa mkate akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki.

Read Yohana 21Yohana 21
Compare Yohana 21:10-13Yohana 21:10-13