Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 20

Yohana 20:20-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana.
21Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi.”
22Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu.

Read Yohana 20Yohana 20
Compare Yohana 20:20-22Yohana 20:20-22