Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 1

Yohana 1:10-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Alikuwa katika dunia, na dunia iliumbwa kupitia yeye, na dunia haikumjua.
11Alikuja kwa vitu vyake, na watu wake hawakumpokea.
12Bali kwa wale wengi waliompokea, ambao waliamini jina lake, kwa hao aliwapa haki ya kuwa wana wa Mungu,
13Ambao walizaliwa, sio kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili, wala kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu mwenyewe.

Read Yohana 1Yohana 1
Compare Yohana 1:10-13Yohana 1:10-13