Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 19

Yohana 19:40-42

Help us?
Click on verse(s) to share them!
40Basi, waliutwaa mwili wa Yesu, wakaufunga sanda pamoja na manukato kufuatana na desturi ya Wayahudi katika kuzika.
41Mahali hapo aliposulubiwa Yesu palikuwa na bustani, na katika bustani hiyo kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakutiwa bado mtu yeyote ndani yake.
42Basi, kwa sababu ya shughuli za Wayahudi za maandalio ya Sabato, na kwa vile kaburi hilo lilikuwa karibu, wakamweka Yesu humo.

Read Yohana 19Yohana 19
Compare Yohana 19:40-42Yohana 19:40-42