Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 19

Yohana 19:25-27

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Karibu na msalaba wake Yesu walikuwa wamesimama mama yake, na dada ya mama yake, Maria mke wa Kleopa, na Maria Magdalene.
26Yesu alipomwona mama yake, na karibu naye amesimama yule mwanafunzi aliyempenda, akamwambia mama yake: “Mama! Tazama, huyo ndiye mwanao.”
27Halafu akamwambia yule mwanafunzi: “Tazama, huyo ndiye mama yako.” Na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua akae nyumbani kwake.

Read Yohana 19Yohana 19
Compare Yohana 19:25-27Yohana 19:25-27