Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 11

Yohana 11:25-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Yesu akamwambia, “Mimi ni ufufuo na uzima; yeye aniaminiye, ingawa atakufa, hata hivyo atakuwa anaishi;
26na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?”
27Akamwambia, “Ndiyo, Bwana naamini kwamba wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu, yeye ajaye katika ulimwengu.”
28Alipokwisha kusema hili, alienda zake na kumwita dada yake Mariamu faraghani. Akasema, “Mwalimu yuko hapa na anakuita.”
29Mariamu aliposikia haya, aliinuka kwa haraka na kwenda kwa Yesu.
30Naye Yesu alikuwa hajaja bado ndani ya kijiji, bali alikuwa bado mahali alipokutana na Martha.

Read Yohana 11Yohana 11
Compare Yohana 11:25-30Yohana 11:25-30