Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Wimbo wa Sulemani - Wimbo wa Sulemani 4

Wimbo wa Sulemani 4:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mdomo wako ni kama uzi mwekendu; mdo wako wapendeza. Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso.
4Shingo yako ni kama mnara wa Daudi ukiwa umejengwa kwa mistari ya mawe, na ngao elfu moja ikining'nia juu yake, ngao zote za wanajeshi.
5Maziwa yako mawili ni kama swala wawili, mapacha wa ayala, wakila miongoni mwa nyinyoro.

Read Wimbo wa Sulemani 4Wimbo wa Sulemani 4
Compare Wimbo wa Sulemani 4:3-5Wimbo wa Sulemani 4:3-5