Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Warumi - Warumi 7

Warumi 7:15-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Maana nifanyalo, silielewi dhahiri. Kwa kuwa lile nilipendalo kutenda, silitendi, na lile nilichukialo, ndilo ninalolitenda.
16Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, nakubaliana na sheria ya kuwa sheria ni njema.
17Lakini sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
18Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani ndani ya mwili wangu, halikai jambo jema. Kwa kuwa tamaa ya lililo jema imo ndani yangu, lakini silitendi.

Read Warumi 7Warumi 7
Compare Warumi 7:15-18Warumi 7:15-18