Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Warumi - Warumi 7

Warumi 7:14-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Kwa maana twajua ya kuwa sheria asili yake ni ya rohoni, lakini mimi ni mtu wa mwilini. Nimeuzwa chini ya utumwa wa dhambi.
15Maana nifanyalo, silielewi dhahiri. Kwa kuwa lile nilipendalo kutenda, silitendi, na lile nilichukialo, ndilo ninalolitenda.

Read Warumi 7Warumi 7
Compare Warumi 7:14-15Warumi 7:14-15