Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Warumi - Warumi 2

Warumi 2:16-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo.
17Na wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia Sheria na kujivunia kuwa wa Mungu;
18kwa njia ya Sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema;
19wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani;
20unajiona kuwa mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa wale wasiokomaa bado. Unayo katika Sheria picha kamili ya elimu na ukweli.

Read Warumi 2Warumi 2
Compare Warumi 2:16-20Warumi 2:16-20