Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Warumi - Warumi 15

Warumi 15:26-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Maana iliwapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo maalumu kwa masikini miongoni mwa waumini huko Yerusalemu.
27Ndiyo, ilikuwa kwa upendo wao, na hakika, wamekuwa wadeni wao. Maana ikiwa mataifa wameshiriki katika mambo yao ya kiroho, wanadaiwa na wao pia kuwahudumia katika mahitaji ya vitu.
28Kwahiyo, wakati nimekamilisha hivi na kuwa na utoshelevu wa tunda hili kwao, mimi nitakwenda njiani pamoja nanyi huko Hispania.
29Najua kwamba, wakati nikija kwenu, nitakuja katika utimilifu wa baraka za Kristo.

Read Warumi 15Warumi 15
Compare Warumi 15:26-29Warumi 15:26-29