Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Warumi - Warumi 14

Warumi 14:23

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.

Read Warumi 14Warumi 14
Compare Warumi 14:23Warumi 14:23