Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 9

Mithali 9:2-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
3Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.

Read Mithali 9Mithali 9
Compare Mithali 9:2-4Mithali 9:2-4