10Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.