9Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,