Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 7

Mithali 7:3-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
4Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
5ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
6Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
7Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
8Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
14leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,

Read Mithali 7Mithali 7
Compare Mithali 7:3-14Mithali 7:3-14