Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 6

Mithali 6:3-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
6Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7Hana akida, afisa au mtawala,
8lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”

Read Mithali 6Mithali 6
Compare Mithali 6:3-9Mithali 6:3-9