Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 6

Mithali 6:13-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.

Read Mithali 6Mithali 6
Compare Mithali 6:13-14Mithali 6:13-14