4lakini mwishoni anakuwa mchungu kama mnyoo, hukata kama upunga mkali.
5Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu.
6Hafikirii njia ya uzima. Hatua za miguu yake hupotea, maana hajui anakwenda wapi.
7Sasa, wanangu, nisikilizeni; wala msiache kusikiliza maneno ya kinywa changu.
8Lindeni njia yenu mbali naye wala msiende karibu na mlango wa nyumba yake.