Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 5

Mithali 5:2-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2ili ujifunze busara na midomo yako iweze kuhifadhi maarifa.
3Maana midomo ya malaya hutiririsha asali na kinywa chake ni laini kuliko mafuta,
4lakini mwishoni anakuwa mchungu kama mnyoo, hukata kama upunga mkali.
5Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu.
6Hafikirii njia ya uzima. Hatua za miguu yake hupotea, maana hajui anakwenda wapi.
7Sasa, wanangu, nisikilizeni; wala msiache kusikiliza maneno ya kinywa changu.
8Lindeni njia yenu mbali naye wala msiende karibu na mlango wa nyumba yake.
9Kwa njia hiyo hamtawapa wengine heshima yenu au miaka ya uzima wenu kwa mtu mkatiri;

Read Mithali 5Mithali 5
Compare Mithali 5:2-9Mithali 5:2-9