Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 3

Mithali 3:18-26

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomshikilia, wale wanaomshikilia wanafuraha.
19Kwa hekima Yehova aliweka msingi wa dunia, kwa ufahamu aliziimarisha mbingu.
20Kwa maarifa yake vina vilipasuka na mawingu kudondosha umande wake.
21Mwanangu, zingatia hukumu ya kweli na ufahamu, na wala usiache kuvitazama.
22Vitakuwa uzima wa nafsi yako na urembo wa hisani wa kuvaa shingoni mwako.
23Ndipo utatembea katika njia yako kwa usalama na mguu wako hautajikwaa;
24ulalapo hutaogopa; utakapolala, usingizi wako utakuwa mtamu.
25Usitishwe na hofu ya ghafula au uharibifu uliosababishwa na waovu unapotokea,
26kwa maana Yehova utakuwa upande wako na ataulinda mguu wako usinaswe kwenye mtego.

Read Mithali 3Mithali 3
Compare Mithali 3:18-26Mithali 3:18-26