Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 31

Mithali 31:7-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Atakunywa na kusahau umasikini wake na hataikumbuka taabu yake.
8Ongea kwa ajili yao wasioweza kuongea, kwa madai ya wote wanaopotea.
9Ongea na uhukumu kwa vipimo vya haki na utetee dai la masikini na watu wahitaji.
10Mke hodari ni nani anaweza kumpata? Thamani yake ni zaidi kuliko vito.
11Moyo wa mume wake humwamini, na hatakuwa masikini.
12Humtendea mambo mema na wala si mabaya siku zote za maisha yake.
13Huchagua sufu na kitani, na hufanya kazi yake ya mikono kwa furaha.
14Yupo kama meli za wafanyabiashara; huleta chakula chake kutoka mbali.

Read Mithali 31Mithali 31
Compare Mithali 31:7-14Mithali 31:7-14