Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 31

Mithali 31:28-31

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Watoto wake huinuka na kumwita heri na mume wake humsifia, akisema,
29“Wanawake wengi wamefanya vizuri, lakini wewe umewapita wote.”
30Madaha ni udanganyifu, uzuri ni ubatili; bali mwanamke amchaye Yehova, atasifiwa.
31Mpeni tunda la mikono yake na kazi zake zimsifu katika malango.

Read Mithali 31Mithali 31
Compare Mithali 31:28-31Mithali 31:28-31