28Watoto wake huinuka na kumwita heri na mume wake humsifia, akisema,
29“Wanawake wengi wamefanya vizuri, lakini wewe umewapita wote.”
30Madaha ni udanganyifu, uzuri ni ubatili; bali mwanamke amchaye Yehova, atasifiwa.
31Mpeni tunda la mikono yake na kazi zake zimsifu katika malango.