18Huangalia ni kipi kitaleta faida nzuri kwake; usiku wote taa yake haizimishwi.
19Mikono yake huiweka kwenye mpini wa kisokotea nyuzi na hushikilia kisokotea nyuzi.
20Mkono wake huwafikia watu masikini; mikono yake huwafikia watu wahitaji.
21Haogopi theluji kwa ajili ya kaya yake, kwa maana nyumba yake yote imevika kwa nguo nyekundu.