Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 30

Mithali 30:9-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Maana nikipata vingi zaidi, nitakukana wewe na kusema, “Yehova ni nani?” Au kama nitakuwa masikini, nitaiba na kukufuru jina la Mungu wangu.
10Usimkashifu mtumwa mbele ya bwana wake, au atakulaani na utapata hatia.
11Kizazi ambacho kinachomlaa baba yao na hakimbariki mama yao,
12kizazi hicho ni safi katika macho yao wenyewe, lakini hawajaoshwa uchafu wao.
13Hicho ni kizazi- jinsi gani macho yao yanakiburi na kope zao zimeinuka juu! -
14kuna kizazi ambacho meno yao ni upanga, na mifupa ya taya zao ni visu, ili waweze kumrarua masikini wamtoe duniani na mhitaji atoke miongoni mwa wanadamu.

Read Mithali 30Mithali 30
Compare Mithali 30:9-14Mithali 30:9-14