Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 2

Mithali 2:2-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2usikilize hekima na utaelekeza moyo wako katika ufahamu.
3kama utalilia ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili ya ufahamu,
4kama utautafuta kama fedha na kupekua ufahamu kama unatafuta hazina iliyojificha,
5ndipo utakapofahamu hofu ya Yehova na utapata maarifa ya Mungu.
6Kwa kuwa Yohova hutoa hekima, katika kinywa chake hutoka maarifa na ufahamu.
7Yeye huhifadhi sauti ya hekima kwa wale wampendezao, yeye ni ngao kwa wale waendao katika uadilifu,
8huongoza katika njia za haki na atalinda njia ya waaminifu kwake.
9Ndipo utakapoelewa wema, haki, usawa na kila njia njema.
10Maana hekima itaingia moyoni mwako na maarifa yataipendeza nafsi yako.

Read Mithali 2Mithali 2
Compare Mithali 2:2-10Mithali 2:2-10