Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 2

Mithali 2:19-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Wote waiendeao njia yake hawatarudi tena na wala hawataziona njia za uzima.
20kwa hiyo utatembea katika njia ya watu wema na kufuata njia za wale watendao mema.
21Kwa wale watendao mema watafanya makazi yao katika nchi, na wale wenye uadilifu watadumu katika nchi.
22Lakini waovu wataondolewa katika nchi na wale wasioamini wataondolewa katika nchi.

Read Mithali 2Mithali 2
Compare Mithali 2:19-22Mithali 2:19-22