Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 29

Mithali 29:8-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
9Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
10Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
11Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
12Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
13Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.

Read Mithali 29Mithali 29
Compare Mithali 29:8-13Mithali 29:8-13