Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 29

Mithali 29:6-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
7Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
8Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
9Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
10Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
11Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.

Read Mithali 29Mithali 29
Compare Mithali 29:6-11Mithali 29:6-11