Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 29

Mithali 29:16-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
17Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
18Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
19Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
20Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
21Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
22Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.

Read Mithali 29Mithali 29
Compare Mithali 29:16-22Mithali 29:16-22