Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 27

Mithali 27:5-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
6Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
7Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
8Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.

Read Mithali 27Mithali 27
Compare Mithali 27:5-8Mithali 27:5-8