21Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
22Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
23Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
24maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
25Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.