Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 26

Mithali 26:16-23

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
17Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
18Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
19ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
20Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
21Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
22Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
23Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.

Read Mithali 26Mithali 26
Compare Mithali 26:16-23Mithali 26:16-23