Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 24

Mithali 24:16-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Maana mwenye haki huanguka mara saba na kuinuka tena, lakini waovu huangushwa kwa maafa.
17Usisherekee wakati adui yako anapoanguka na wala moyo wako usifurahi anapojikwaa,
18au Yehova ataona na kutoridhika na kuondoa ghadhabu juu yake.
19Usifadhaike kwa sababu ya watenda mabaya, na wala usiwahusudu watu waovu,

Read Mithali 24Mithali 24
Compare Mithali 24:16-19Mithali 24:16-19