Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 23

Mithali 23:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
9Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
10Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
11maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.

Read Mithali 23Mithali 23
Compare Mithali 23:8-11Mithali 23:8-11