8Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
9Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
10Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
11maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.