Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 23

Mithali 23:18-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
19Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
20Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
21maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
22Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
23Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
24Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.

Read Mithali 23Mithali 23
Compare Mithali 23:18-24Mithali 23:18-24