Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 23

Mithali 23:11-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
12Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
13Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
14Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu.
15Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
16sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
17Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.

Read Mithali 23Mithali 23
Compare Mithali 23:11-17Mithali 23:11-17