Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 22

Mithali 22:17-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
18maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.

Read Mithali 22Mithali 22
Compare Mithali 22:17-18Mithali 22:17-18