Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 21

Mithali 21:6-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
7Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
8Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.

Read Mithali 21Mithali 21
Compare Mithali 21:6-8Mithali 21:6-8