Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 21

Mithali 21:5-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Mipango ya mwenye juhudi huelekea kwenye mafanikio tu, bali kila mtu anayetenda kwa haraka huelekea umasikini.
6Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
7Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
8Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.
9Bora kuishi kwenye kona ya juu darini kuliko katika nyumba pamoja na mke mgonvi.
10Hamu ya mwovu ni uchu wa mabaya; jirani yake haoni ukarimu katika macho yake.
11Mwenye dhihaka anapoadhibiwa mjinga hupata busara, na mtu mwenye busara anapofundishwa, anaongeza maarifa.

Read Mithali 21Mithali 21
Compare Mithali 21:5-11Mithali 21:5-11