Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 21

Mithali 21:25-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Shauku ya mtu mvivu itamuua, maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
26Kwa siku nzima hupatwa na uchu na uchu zaidi, lakini atendaye haki hutoa na wala hazuii.
27Sadaka ya mwovu ni chukizo; huwa ni chukizo zaidi anapoileta kwa nia mbaya.
28Shahidi wa uongo ataangamia, bali anayesikiliza ataongea kwa muda wote.
29Mtu mwovu huufanya uso wake kuwa mgumu, bali mtu mwadilifu ni thabiti juu ya njia zake.

Read Mithali 21Mithali 21
Compare Mithali 21:25-29Mithali 21:25-29