Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 20

Mithali 20:8-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
9Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
10Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.
11Hata kijana hujulikana kwa matendo yake, kwa mwenendo wake kama ni safi na uadilifu.
12Masikio yanayosikia na macho yanayoona- Yehova aliyafanya yote.
13Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.

Read Mithali 20Mithali 20
Compare Mithali 20:8-13Mithali 20:8-13