Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 20

Mithali 20:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
9Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
10Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.

Read Mithali 20Mithali 20
Compare Mithali 20:8-10Mithali 20:8-10