16Chukua vazi kama mmiliki wake ataweka fedha kama dhamana kwa deni la mgeni, na lichukue kama anaweka dhamana kwa uzinifu.
17Mkate uliopatikana kwa ulaghai unaladha tamu, lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto.
18Mipango huimarishwa kwa ushauri na kwa mwongozo wa busara utapigana vita.
19Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana.
20Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.