Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 20

Mithali 20:13-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.
14“Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
15Ipo dhahabu na mawe ya thamani, lakini midomo yenye maarifa ni kito cha thamani.

Read Mithali 20Mithali 20
Compare Mithali 20:13-15Mithali 20:13-15