Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:24-26

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Mtu goigoi huuzika mkono wake ndani ya dishi; hataurudisha juu ya kinywa chake.
25Kama utampiga mwenye mzaha, wajinga watakuwa na hekima; mwelekeze mwenye ufahamu, naye atapata maarifa.
26Anayempora baba yake na kumfukuza mama yake ni mwana anayeleta aibu na shutuma.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:24-26Mithali 19:24-26