Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:16-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Yeye anayetii amri huyaongoza maisha yake, bali mtu asiyefikiri juu ya njia zake atakufa.
17Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:16-17Mithali 19:16-17