Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 18

Mithali 18:7-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
8Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
9Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
10Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.

Read Mithali 18Mithali 18
Compare Mithali 18:7-10Mithali 18:7-10