13Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
14Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
15Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
16Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
17Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.